LEKIDEA FOCUS OVERVIEW

LEKIDEA
is a registered Non-profit Organization of Kirua Vunjo East Moshi, by Natives from related Villages (Kileuo, Mrumeni, Kotule, Mero, Legho, Lasso, Kwa-Laria(Kanji), dedicated to join together, leverage their Vision, Objectives, Social strengths, ambitions & professionalism and other common resources from members, relatives and families having any origination with K.V East, to come TOGETHER, DEVELOP and CHANGE their Motherland through Projects and involvements in different Social development Initiatives that play roles in alleviating poverty and enhancing opportunities in collaboration with all well wishers, and support from social development entities from the village level, national level, and international level.

LEKIDEA :: Wanachama walio katika Fani Mbalimbali

SEHEMU YA KUAINISHA UZOEFU, UWEZO NA UMAHIRI WA WANA-LEKIDEA KATIKA FANI MBALIMBALI, ILI KUWAFAHAMISHA WENGINE WAPATE HUDUMA HIZO MARA WANAPOZIHITAJI:

Tunaomba Maoni na Ushauri toka kwa Wana-LEKIDEA ili kuwasilisha Taarifa zao mbalimbali kuhusu Fani, Uzoefu na katika Nyanja Mbalimbali na jinsi ya kuwezesha Wengine kuzipata huduma hizo haraka: Fani husika nia pamoja na zifuatazo:
* Wanasheria - (Lawyers)
* Wahandisi - (Engineers)
* Madaktari - (Doctors)
* Waalimu - (Teachers)
* Wataalam mbalimbali nk